News
Je, Kuna Uwezekano Wa Virusi Vya Covid-19 Kuisha Hivi Karibuni? Hofu Yaibuka

Hofu imetanda kote ulimwenguni kutokana na Janga hili hatari la virusi Vya covid-19 ambalo limekumba mataifa mengi Duniani. Aidha, taarifa zinabaini Kwamba janga hili ndio limeanza kuyakumba kwa kiasi kikubwa mataifa machanga basi kuchangia kutoisha kwa virusi hivi hivi karibuni.
Aidha, nchini mbalimbali zinajisadidi Kufanya uchunguzi maabarani hili kupata chanjo au tiba mwafaka ya virusi hivi hatari. Kulinga na muujibu wa ripoti za hivi karibuni, Kuna Baadhi ya Mambo ambayo yanayochangia kutoisha kwa janga hili hivi karibuni. Tangu kuchibuka kwa virusi hivi vya covid-19,Serikali za nchi mbalimbali Duniani zikishirikiana na Shirika la Afya Duniani zilizua Sheria mbalimbali kwa ajili ya Kudhibiti kuenea Zaidi kwa Ugonjwa huu.
Baadhi ya sheria zilizowekwa kuzuia kutapakaa kwa virusi hivi Ni Kunawa Mikono kwa Kutumia kitakaza mkono, Kutokaribiana, kuvalia barakoa na kadhalika. Aidha, taarifa zinabaini Kwamba wengi wameonekana kupuuza baadhi ya Sheria hizi ndiposa virusi hivi vinazidi kutapakaa kwa kiasi kikubwa kuchangia idadi ya wanaopatwa na virusi hivi kuongezeka huku idadi ya vifo ikishuhuduwa kuongezeka kila siku.

Picha; Virusi Vya Covid-19
Kulingana na ripoti, mataifa mengi ndio yameanza Kukumbwa Na virusi hivi hasa mataifa machanga, hivo basi uwezekano Wa kuisha kwa virusi hivi ukionekana kudidimia. Baadhi ya mataifa Afrika yako katika hali hatari kwa muujibu wa ripoti huku uchumi Wa mataifa mengi Afrika ukionekana kusorota kwa kiasi kikubwa.
Kitakachochangia kupunguka kwa virusi hivi Ni kufuata Sheria za Kudhibiti Ugonjwa huu zilizothibitishwa na shirika la Afya Duniani na kuhakikisha mataifa yote yanaendana na Sheria hizi bila Kupuuza.
Toa Maoni, Shirikisha na Fuata Kwenye Tovuti Stateupdate.co.ke Kupokea Habari Zaidi Punde Zinapojiri.
-
Crime9 hours ago
Tension High: America Leaks Alshaabab Possible Attacks On Kenyans
-
News1 day ago
Headache To Raila? How DP Ruto Will Finish Raila In 2022
-
Politics2 days ago
Uhuru Camp Decides? Ruto To Be Sacked Out Of Government
-
Entertainment6 hours ago
Kisii’s Leading Gospel Artist Embarambamba Joining Wasafi Records? Details Emerges As Many Surprised
-
Politics3 weeks ago
2022 Election To Be Held Today; Votes Raila Will Get Against Ruto
-
Politics3 weeks ago
Uhuru Playing Raila? Secret Deal Between Uhuru And Ruto You Should Know
-
Politics2 weeks ago
R.I.P What Killed Senator Haji Revealed
-
Politics2 weeks ago
Raila Swings Into ‘Celebration’ Amidst Senator Haji’s Death