Education
Hatimaye Mudavadi Aonyesha Jinsi Watoto Kutoka Familia Maskini Wanateseka Kupata Elimu

Kinara Wa Chama Cha ANC Musalia Mudavadi hatimaye amebaini namna watoto Kutoka Familia maskini wanateseka kupata elimu kumptia mfumo wa dijitari ulioidhinishwa na Serikali katika msimu huu Wa janga la covid-19. Kutokana na virusi hivi, Serikali ililazimika Kufunga taasisi zote za kielimu ili kuzuia kuenea Zaidi kwa virusi hivi hatari.
Aidha, ili kuendeleza masomo, Serikali ilizindua mfumo wa dijitali Ambapo mafunzo yalianza kupeperushwa kuptia redio, runinga na mtandaoni ili wanafunzi waweze kuendeleza masomo yao. Licha ya Kwamba Serikali ikishirikiana na wizara ya elimu ilijikaza kufanikisha masomo haya ya dijitali taarifa zabaini Kwamba Baadhi ya wanafunzi hususan Kutoka Familia masikini hawawezi kujimudu ili kupata mafunzo.

PICHA; Watoto wanatazama mafunzo Kwenye Televisheni
Kinara Wa ANC Musalia Mudavadi, ameelezea changamoto wanafunzi Kutoka Familia masikini wanazopitia Ambazo zinawapelekea kutofaidika na masoma haya ya dijitali. Mudavadi alibainisha Kwamba, hawapati haki kwani hawana intaneti kuendeleza masomo. Akizungumza Kupitia runinga ya ntv, Mudavadi alisema wanafunzi Kutoka Familia masikini wasitenge na waweze kupata haki Kama wengine.
Mudavadi alionekana akitetea haki za wanafunzi hususan katika Hali hii ngumu taifa la Kenya linakumbwa na Janga la covid-19. Taarifa zinaeleza Kwamba sio wanafunzi Wote wanao uwezo wa kusoma mtandaoni kutokana na umaskini. Serikali ilitanganza kufunguliwa kwa shule mwaka Ujao ili kukabiliana na virusi Vya covid-19 Ambavyo vimetatiza Hali ya taifa.
Toa Maoni, Shirikisha na Fuata Kwenye tovuti ya stateupdate.co.ke Kupata habari Zaidi
-
Politics3 weeks ago
2022 Election To Be Held Today; Votes Raila Will Get Against Ruto
-
Politics3 weeks ago
Uhuru Playing Raila? Secret Deal Between Uhuru And Ruto You Should Know
-
Politics2 weeks ago
R.I.P What Killed Senator Haji Revealed
-
Politics2 weeks ago
Raila Swings Into ‘Celebration’ Amidst Senator Haji’s Death
-
News2 weeks ago
R.I.P Death Strikes Throwing Citizen TV Journalist Rashid Abdalla In Mourning
-
Politics6 days ago
Bad News To Uhuru, Raila On BBI As IEBC Drops A Bombshell
-
Politics3 weeks ago
Big Blow To President Uhuru As Fearless Angry Ruto Throws A Bombshell With Stern Warning
-
Politics4 weeks ago
Meet Photos Of Ruto’s Elder Brother That People Don’t know Well